News & Updates

Latest News

Stay informed about our latest initiatives, events, and community stories.

Featured Story

URGENT: Job Opportunity - Turkish, English, and Swahili Speaker - Female candidates are mostly Preferred.

You will serve as a vital link in our day-to-day operations, supporting management with routine administrative duties, data management, and daily staff and customer communications across three languages.

19 August 20261 min readExternal link →

All Stories

More updates

11 stories
18 August 20261 min read

Mkutano na Balozi wa Uturuki

Mkutano huu utakuwa na ugeni maalumu kutoka kwa Alumni ambao ni Wadau wa Sekta ya Afya katika kushirikishana Fursa na Elimu katika Sekta ya Afya. Aidha, mkutano huu utaambatana na zoezi la Uchangiaji wa Damu kwa kushirikiana na wadau wa Taasisi ya Tujuane Hub na Mpango wa Taifa wa Damu Salama – Tanzania. Pia, mkutano huu utatoa majibu na njia ya kupata suluhisho la changamoto mbalimbali wanazopata Türkiye Alumni kupitia ushirikiano baina ya Tanzania na Uturuki.

View Link
7 August 20261 min read

Job Opportunity: Kiswahili–Turkish Translator & Programme Coordinator.

The SETTA Foundation, under the operational management and supervision of Mambo Africa Business Consultancy, requires a qualified, multi-lingual professional to serve as a Kiswahili–Turkish Translator and Programme Coordinator. This hybrid role combines high-level translation and interpretation between Turkish and Kiswahili with hands-on project coordination for ongoing humanitarian aid, socio-economic empowerment, and community development programs.

View Link
2 July 20261 min read

Applications for the 2nd term of the Türkiye Graduates Academic Incentive Program 2026 have begun.

Applications have opened for the second term of the Turkey Graduates Academic Incentive Program 2026, which aims to encourage the academic output of academics and researchers who graduated from universities in Turkey. Within the scope of the program, foreign academics and researchers who have completed part of their education in Turkey will be provided with an incentive of up to 500 USD for their articles published in international academic journals indexed in SSCI, SCIE, ESCI, or AHCI within the last year. The incentive amount will be calculated taking into account the impact factor of the journal in which the article is published, the number of authors, and the type of index it is indexed in. Applications with a final incentive amount below 100 USD will not be paid. Turkish citizens and those who have lost their citizenship are not eligible to apply to this program. Applications will be accepted until January 1, 2027, via the website basvuru.ytb.gov.tr. Applicants must first register on the Turkish Alumni Portal.

View Link
15 June 20261 min read

Human and Social Development Research Supprot Program (BESKAP)

Humanity and Social Development Research Support Program applications have started. Through #BESKAP support will be provided to innovative thesis and scientific research, which creates a comprehensive roadmap for the human and social development of our kin and kin communities.

View Link
18 March 20261 min read

Tanzanian envoy urges impactful economic projects

Tanzanian envoy urges donors to direct their assistance toward impactful economic projects

View Link
17 March 20261 min read

Tanzania Türkiye Alumni Iftar Gala Highlights

SETTA Iftar Gala - 2026 Highlights. Katika kuadhimisha mwezi Mtukufu wa Ramadhan, Taasisi ya SETTA ikishirikiana na Ubalozi wa Uturuki Tanzania, iliandaa hafla ya Iftar Gala kwa Wahitimu wa Uturuki nchini Tanzania. Hafla hiyo ilihudhuriwa na Mgeni Rasmi Mh. Balozi Mhandisi Zena Ahmed Said (Katibu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Balozi Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Saudi Arabia) pamoja na Balozi wa Uturuki nchini Tanzania Mh. Dkt. Bekir GEZËR. Aidha, Katika hafla hiyo Mh. Balozi Mhandisi Zena Ahmed Said, alisisitiza juu ya Ufadhili wa Misaada ya Kibinadamu kupitia taasisi ya SETTA ilikuweza kuwafikia walengwa husika na katika jamii kubwa ya watu wenye uhitaji. Pia, Misaada hiyo iweze kugusa maisha ya wahusika katika kuwakwamua kutoka katika umasikini na kuchochea maendeleo ya jamii ya Kitanzania. Balozi wa Uturuki nchini Tanzania (Mh. Dkt. Bekir GEZËR) ameahidi kuendeleza ushirikiano na Wahitimu wa Uturuki katika kuimarisha mahusiano baina ya Uturuki na Tanzania. Cc. @zenasaidzas @tnzbe.bekirgezer @tc_darusselambe @alumniturkiye @yurtdisiturkler

View Link

Members and Partners

TDV Logo
Client Logo
Client Logo
Client Logo

The Impact of Giving

Dedicated volunteers drive our mission, with Gifts in Wills funding half of our lifesaving work.

Donate Now