Maombi ya Ufadhili wa Masomo ya Dini nchini Uturuki.
Kwa mwaka 2026, maombi ya wanafunzi yamefunguliwa rasmi kwa programu zifuatazo: 1. Shule ya Sekondari ya Kimataifa ya Anadolu Imam Hatip. 2. Shahada ya Kwanza ya Kimataifa ya Elimu ya Dini. 3. Shahada za Uzamili za Kimataifa za Elimu ya Dini. Dirisha la Maombi litafungwa tarehe: 28.02.2026



